
Meneja Mradi wa Ujenzi wa Daraja la Kigamboni kutoka NSSF, Mhandisi Karim Mataka akitoa maelezo kwa wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Katiba na Sheria walipotembelea mradi wa ujenzi wa daraja hilo jijini Dar es Salaam leo.

Naibu waziri wa Kazi, Vijana na Ajira, Antony Mavunde akizungumza wakati wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Katiba na Sheria walipotembelea mradi wa ujenzi wa daraja la Kigamboni jijini Dar es Salaam jana. Kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa NSSF, Prof. Godius Kahyarara, wa pili kushoto ni Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Mohamed Omary na kulia ni Meneja Mradi wa Ujenzi wa Daraja la hilo kutoka NSSF, Mhandisi Karim Mataka.

Meneja Miradi wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Mhandisi John Msemo akitoa ufafanuzi juu ya ujenzi wa nyumba zinazojengwa NSSF kwa wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Katiba na Sheria walipotembelea mradi wa nyumba za NSSF Mtoni Kijichi jijini Dar es Salaam.


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...