Baadhi ya watumishi wa serikali, viongozi wa dini na wadau wa maendeleo
wa mkoa wa Kagera wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati
alipozungumza nao kwenye ukumbi wa ELCT mjini Bukoba akiwa katika ziara
ya mkoa wa Kagera Machi 13, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Watumishi wa serikali, Viongoze wa
dini na wadau wa maendeleo wa mkoa wa Kagera kwenye ukumbi wa ELCT
mjini Bukoba Machi 13, 2016. Alikuwa katika siku ya kwanza ya ziara ya
mkoa wa Kagera.




Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...