Mbunge wa Jimbo la Mtama ambaye pia ni Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye akiangalia mashimo ya choo vya shule yanayojengwa kwa nguvu ya wananchi wa shule ya Msingi Nahukahuka.
Mzee
Chitende mbunge wa zamani wa Jimbo la Mtama ambaye sasa ni Mshauri wa
Mhe. Nape Nnauye akihutubia umati wa watu waliojitokeza kwenye mkutano
wa Mbunge na Wananchi.
Wananchi
wa kijiji cha Nahukahuka wakimsikiliza Mbunge wao Mhe. Nape Nnauye
akiwasomea vijiji vitakavyopata umeme wa Mradi wa kusambaza umeme
vijijini awamu ya tatu.
Mbunge
wa Jimbo la Mtama ambaye pia ni Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na
Michezo Mhe. Nape Nnauye akizungumza na wananchi wa kata ya Nahukahuka
kwenye mkutano wa kuwashukuru na kuwapa taarifa za mambo ambayo
ameshafanya mpaka sasa.


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...