Mbunge wa Jimbo la Mtama ambaye pia ni Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye akiangalia mashimo ya choo vya shule yanayojengwa kwa nguvu ya wananchi wa shule ya Msingi Nahukahuka.
Mzee Chitende mbunge wa zamani wa Jimbo la Mtama ambaye sasa ni Mshauri wa Mhe. Nape Nnauye akihutubia umati wa watu waliojitokeza kwenye mkutano wa Mbunge na Wananchi.
Wananchi wa kijiji cha Nahukahuka wakimsikiliza Mbunge wao Mhe. Nape Nnauye akiwasomea vijiji vitakavyopata umeme wa Mradi wa kusambaza umeme vijijini awamu ya tatu.
Mbunge wa Jimbo la Mtama ambaye pia ni Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye akizungumza na wananchi wa kata ya Nahukahuka kwenye mkutano wa kuwashukuru na kuwapa taarifa za mambo ambayo ameshafanya mpaka sasa.
 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...