Kampuni ya Legendary Music Entertainment and Promotions Company Limited inatoa wito kwa wafanyabiashara wote kujitokeza kufanya Biashara katika Tamasha la Dini La Upendo Music Festival.
Tamasha la Upendo Music Litakalofanyika siku ya PASAKA, Tarehe 27/03/2016. Katika viwanja vya LEADERS Kinondoni, Kuanzia Saa 4:00 Asubuhi Hadi Saa 10:00Usiku, Litakalojumuisha Waimbaji binafsi na Kwaya mbali mbali, pia Litajumuisha Bonanza la Michezo, Michezo ya Watoto na Uuzaji wa Biashara mbali mbali.
Hivyo basi kwa wafanyabiashara Wakubwa na Wadogo wenye lengo la kujitokeza kufanya Biashara kama UUZAJI WA CHAKULA NA VINYWAJI na Biashara nyinginezo, kwa bei nafuu sana Mnakaribishwa.
|
Home
Unlabelled
wito kwa wafanyabiashara tamasha la dini la upendo music festival
Subscribe to:
Post Comments (Atom)



Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...