Sehemu ya Waombolezaji nchini Congo, wakipokea Jeneza lenye Mwili wa aliekuwa Mwanamuziki Mkongwe wa Rhumba, Marehemu Jules Shungu Wembadio Pene Kikumba Maarufu kwa Jina la Papa Wemba, ulipowasili kwenye Uwanaj wa Ndege wa Kimataifa wa Kinshasa, Nchini Congo ukitokea Nchini Ivory Coast. Marehemu Papa Wemba alifikwa na Umauti, katika moja ya Onyesho la Muziki wake, Jijini Abidjan Ivory Coast, hivi karibuni.
Sehemu ya Waombolezaji wakiwa kwenye Uwanja wa Ndege wa Kinshasa.






Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...