Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Elimu,Sayansi,Teknolojia,Ufundi na Mafunzo ya Ufundi,Prof.Simon Msanjila,akihutubia wakati wa ufunguzi wa kongamano la siku mbili la Mafunzo ya ufundi yanayokidhi viwango bora kwenye soko la ajira lililoandaiwa na Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE)jijini Dar es Salaam leo.
Baadhi ya washiriki wa kongamano la siku mbili la Mafunzo ya ufundi yanayokidhi viwango bora kwenye soko la ajira,wakimsikiliza kwa umakini Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Elimu,Sayansi,Teknolojia,Ufundi na Mafunzo ya Ufundi,Prof.Simon Msanjila(hayupo pichani)wakati akizindua kongamano hilo lililoandaliwa na Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE), leo jijini Dar es Salaam.
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Elimu,Sayansi,Teknolojia,Ufundi na Mafunzo ya Ufundi,Prof.Simon Msanjila,akiongea na waandishi wa habari baada ya kuzindua kongamano la siku mbili la Mafunzo ya ufundi yanayokidhi viwango bora kwenye soko la ajira,lililoandaliwa na Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE)jijini Dar es Salaam leo,wapili toka kushoto Mwenyekiti wa bodi ya elimu ya mafunzo,Dkt. Rebecca Sime na Kaimu Katibu Mkuu wa Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE),Dkt.Adolf Rutayuga.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...