Meneja wa Mtambo wa Maji wa Ruvu Chini Mhandisi Emmanuel Makusa (katikati) akiwaongoza Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji kutembelea Mtambo wa Maji wa Ruvu Chini,wilayani Bagamoyo kujionea maendeleo yaliyofikiwa kufuatia kukamilika kwa ujenzi wa bomba lenye urefu wa Kilometa 56 linalotoka katika mtambo huo kwenda jijini Dar es salaam.
Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji wakiangalia sehemu ya kukusanyia maji kutoka mto Ruvu kwenye Mtambo wa Ruvu Chini.
Meneja wa Mtambo wa Maji wa Ruvu Chini Mhandisi Emmanuel Makusa akitoa ufafanuzi kwa Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji namna chumba cha kuongozea mitambo ya Ruvu chini kinavyofanya walipotembelea Mtambo wa Ruvu Chini,wilayani Bagamoyo kujionea maendeleo yaliyofikiwa kufuatia kukamilika kwa ujenzi wa bomba lenye urefu wa Kilometa 56 linalotoka katika mtambo huo kwenda jijini Dar es salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...