Mwenyekiti wa Serikali za Mtaa wa Oysterbay(CCM), Zefrin Lubuva awakabidhi mikanda, virungu na makoti ya kujikinga na mvua kwa wanakikundi cha ulinzi shirikishi cha mtaa wa Oysterbay jijini Dar es Salaam.
Pia alizungumza na wananchi wa mtaa wa Oysterbay jijini Dar es Salaam ili kujua changamoto za wananchi wa mtaa huo katika nyaza za ulinzi, usalama na Usafi wa mazingira.

 Mwenyekiti wa Serikali za Mtaa wa Oysterbay(CCM), Zefrin Lubuva akifafanua jambo alipokuwa akisoma ripoti ya Mtaa wake katika ulinzi , usalama na usafi wa mazingira ya mtaa wa Oyster bay jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.
 Afisa Mtendaji wa Mtaa wa Oysterbay, Achema Kalembo akisoma taarifa ya mapato na matumizi ya Mtaa wa Oysterbay mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam wakati  Mwenyekiti wa Serikali za Mtaa wa Oysterbay(CCM), Zefrin Lubuva alipokuwa akizungumza na wanamtaa huo ili kujua changamoto mbalimbali zinazowakabili wananchi wake.
Mwenyekiti wa Serikali za Mtaa wa Oysterbay(CCM), Zefrin Lubuva akiwakabidhi Virungu, Mikanda na Makoti kwa wanakikundi cha ulinzi shirikishi wa mtaa wa Osyterbay mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam.  

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...