Meya wa Halmashauri  Manispaa ya Kinondoni, Boniface Jacob akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani)  juu ya Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni kusaini Mkataba na Kampuni ya MS/H.P GAUFF INGENIEURE GMBH&CO,KG-JBG kwa ajili ya Ujenzi wa  Barabara za Halmashauri ya Kindondoni kwa kiwango cha lami  ambazo zitapunguza  msongamano pamoja na ujenzi wa mifereji ya kusafirishia maji ,leo  jijini Dar es Salaam.kushoto ni Meneja wa Tawi la Gauff Consultants, Thorsten  Seitz
 Meneja wa Tawi la Gauff Consultants, Thorsten  Seitz, akizugumza na kuishukuru  Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni kwakumpa kampuni yake Zabuni  hiyo leo  jijini Dar es Salaam. Katikati ni Meya wa Halmashauri  Manispaa ya Kinondoni, Boniface Jacob kulia ni Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni, Aron Kagulumjuli.
 Mkataba kisaniwa.
Meya wa Halmashauri  Manispaa ya Kinondoni, Boniface Jacob wa (kushoto) akimkabidhi mkataba Meneja wa Tawi la Gauff Consultants, Thorsten  Seitz.
(Picha na Emmanue Massaka wa Globu ya Jamii).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...