Diwani wa kata ya Naberera Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, Haiyo Yamati Mamasita (kushoto) na Mbunge wa Jimbo hilo James Ole Millya (katikati) wakiwasili uwanjani kwa ajili ya wakiendesha harambee ya ujenzi wa madarasa ya shule ya msingi Ormet, ambapo sh29 milioni zilipatikana.
Diwani wa kata ya Naberera Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, Haiyo Yamati Mamasita (kulia) na Mbunge wa Jimbo hilo James Ole Millya wakiendesha harambee ya ujenzi wa madarasa ya shule ya msingi Ormet, ambapo sh29 milioni zilipatikana.
Mbunge wa Jimbo la Simanjiro Mkoani Manyara, James Ole Millya akisalimianana wakazi wa eneo la Ormet, Kijiji cha Namalulu, alipowasili kwa jaili ya kuendesha harambee ya ujenzi wa vyumba vya madarasa, vyoo na nyumba za walimu wa shule ya msingi Ormet, ambapo sh29 milioni zilipatikana.





Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...