Mbunge wa Jimbo Kinondoni, Maulid Mtulia akizungumza na wananchi Jimboni kwake juu ya kuwasisitiza wananchi kujiunga na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) ambayo kwasasa inapatikana Jimboni kwake kwa ada ya shilingi elfu 40,000 kwa mwaka mzima. mwananchi ukiwa na kadi hiyo utamuona Daktali utapa vipimo na kupatiawa dawa. bila kutoa gharama yoyote, katika mkutano huo ulifanyika  kwenye viwanja vya Magomeni jijini Dar es Salaam.
 Mstahiki Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Boniface Jacob kizungumza na wananchi wa Wilaya yake juu ya  kuwashawishi  Serikali iwalipe fidia waliobomolewa nyumba zao  lakini mbali na hayo mpaka sasa waathirika wote wameandaliwa mpango maalumu ili kunusuru Maisha yao.
Sehemu ya wananchi waliofika kwenye mkutano huo ulio fanyika kwenye viwanja vya Magomeni jijini Dar es Salaam.
(Picha na Emmanuel Massaka ya Globu ya Jamii)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. christopherApril 16, 2019

    Asanteni sana kwa serikali ya awamu ya tano kwa kusaidia jamii hasa mkilenga jamii ya watu maskini kwa upande huu wa afya.Sasa niwaombe mtufahaamishe ni utaratibu gani tunaufata kupata hiyo bima kwasababu kuna kipindi nimeingia ofisi ya kinondoni nikaambiwa bima iliyopo niya 1.5

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...