Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya
Makazi Mhe. Angeline Mabula (Mb), (katikati) akiwa na viongozi
wa chuo cha Ardhi – Morogoro pamoja na wahitimu katika
mahafali ya 34 ya chuo hicho, wa pili kulia kwake ni Mkurugenzi
wa Idara ya Upimaji na Ramani; Bwn. Justo Lyamuya.

Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Angeline Mabula (Mb), akipewa maelezo juu ya matumizi ya kifaa cha upimaji (Total Station) na mmoja wa wanafunzi wa chuo cha Ardhi – Morogoro ambaye pia ni mhitimu katika mahafali ya 34 ya chuo hicho.
Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Angeline Mabula (Mb), akijaribisha kifaa cha upimaji (Total Station) kinachotumiwa na wanafunzi wa Chuo cha Ardhi – Morogoro kupima, katika mahafali ya 34 yaliyofanyika chuoni hapo.




Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...