Usikose kuangali kipindi cha Mizani ya Wiki kesho Jumapili kuanzia saa mbili na nusu kupitia AZAM two ambapo utamsikia Mhe. Stephen Wassira aliyekuwa waziri wa kilimo na chakula katika serikali ya awamu ya Nnne na Profesa Mwesiga Baregu wakizungumzia mpango wa Taifa wa maendeleo kwa mwaka 2016 - 2020 uliowasishwa na waziri wa fedha na mipango dokta Philip Mpango.
Kwa mara ya kwanza utamsikiliza na kumuona Mze Stephen Wassira ndani ya Azam TV 2




Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...