Usikose kuangali kipindi cha Mizani ya Wiki kesho Jumapili kuanzia  saa mbili na nusu kupitia AZAM two ambapo utamsikia Mhe.  Stephen Wassira aliyekuwa waziri wa kilimo na chakula katika serikali ya awamu ya Nnne na Profesa Mwesiga Baregu wakizungumzia mpango wa Taifa wa maendeleo kwa mwaka 2016 - 2020 uliowasishwa na waziri wa fedha na mipango dokta Philip Mpango.
Kwa mara ya kwanza utamsikiliza na kumuona Mze Stephen Wassira ndani ya Azam TV 2

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...