Askari wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania, Kikosi cha Maji, wakiwa katika boti, wakati wa zoezi la kutafuta miili ya watu waliozama baharini asubuhi ya leo, baada ya gari aina ya Toyota Hiace kuteleza kutoka kwenye Pantoni kabla ya kutumbikia na kuzama baharini. Imedaiwa kuwa gari hiyo ilikuwa na watu wawili, dereva mwanaume na abiria mwanamke. Waokoaji walifanikiwa kuopoa mwili wa dereva kwanza na baadaye wakaupata mwili wa mwingine mnamo majira ya saa tatu asubuhi ya leo. Mwanamke huyo inasemakana alikuwa anarejea nyumbani akitoka katika msiba wa ndugu yake uliotokea siku 9 zilizopita.
Mwili wa Mmoja wa watu hao ukitolewa mara baada ya kupatikana majini, juhudi za kuutafuta mwili zilifanikiwa masaa mawili badae.
Mwili wa Mmoja wa watu hao ukitolewa mara baada ya kupatikana majini, juhudi za kuutafuta mwili zilifanikiwa masaa mawili badae.
Zoezi la Upoaji likiendelea.
LIES, LIES AND MORE LIES! Magari yakishaingia kwenye Kivuko iweje abiria wanabaki ndani? Sheria haziruhusu. Threre needs to be full accountability. Majipu hayo kama si wauaji.
ReplyDeletePoleni wafiwa.
ReplyDelete