Mwakilishi wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) Mkoani Manyara, Haji Mpeta akiwapa elimu ya NHIF madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro kwenye kikao cha baraza hilo lililofanyika mji mdogo wa Orkesumet.
Baadhi ya madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro, wakimsilikiza mwakilishi wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) Mkoani Manyara, Haji Mpeta akiwapa elimu ya NHIF.
Mwenyekiti wa Halmashauri ya Simanjiro Mkoani Manyara, Jackson Sipitieck, akizungumza kwenye kikao cha baraza la madiwani kuhusiana na kujiunga na NHIF.


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...