SIMU.TV:  Mh.Lutengano aibana serikali juu ya ahadi yake ya kupeleka  magari ya kubebea wagonjwa katika hospitali za halmashauri ya Mufindi; https://youtu.be/0DB8S1lMD7c 
 SIMU.TV:  Mh.Suleiman Jafo akijibu swali la Mh.Dkt Prudenciana juu ya upatikanaji wa maji safi na salama katika kata mbalimbali za Katavi; https://youtu.be/VjkXWysICrE
 SIMU.TV:  Sikiliza jinsi Mh.Martha Mlata alivyowachomea wakandarasi wanaochukua tenda za miradi mbalimbali ya serikali; https://youtu.be/EdRPb9hYss0  
 SIMU.TV:  Mh. Mtabaliba aihoji serikali juu ya usitishwaji wa mkataba wa kutoa huduma kwa wazee kati ya halmashauri na hospitali ya Buhigwe; https://youtu.be/mhT7wnTO6II 
 SIMU.TV:  Mh. Halima Mdee aitaka serikali kutoa taarifa kuhusu wapi imefikia katika kubaini gharama ya karo elekezi kwa shule binafsi nchini;  https://youtu.be/GXlTK7H_7eg
 SIMU.TV:  Mh.Rweikiza aihoji serikali juu ya ujenzi wa chuo cha VETA katika mkoa wa Kagera kufuatia uhaba wa vyuo katika mkoa huo; https://youtu.be/n017qbV_71k 
 SIMU.TV:  Mh.Hamadi Saalim aihoji serikali juu ya mpango wake wa kusaidia wavuvi wadogo ili kukuza na kuendeleza sekta ya uvuvi nchini;  https://youtu.be/k6xj2vyB49o
 SIMU.TV:  Sikiliza jinsi serikali ilivyoweka mkakati ya kukabiliana na mauwaji ya albino, vikongwe na suala la kujichukulia sheria mkononi;  https://youtu.be/vlvFTt92gSo
 SIMU.TV:  Mh. Hamida Abdala aihoji serikali juu ya utekelezaji wa sera ya kuendeleza  viwanda na namna vijana wanavyonufaika na sera hiyo;  https://youtu.be/jxq3ERelzXo
 SIMU.TV:  Mh.Chihuahua mbunge wa Masasi aibana serikali juu ya upanuzi wa mradi wa maji wa Bwinji mkoani Lindi; https://youtu.be/1iAMM-CwmI4

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...