Rais John Pombe Joseph Magufuli akisalimiana na Naibu Kamishna wa Uhamiaji George Goda alipowasili Kigamboni na mkewe mama Janeth Magufuli kuzindua daraja la Nyerere na Jumanne Aprili 19, 2016
 Wadau kutoka sehemu mbali mbali wakishuhudia siku hii ya kihistoria
 Viongozi wa taasisi mbalimbali pamoja na wananchi
Rais John Pombe Joseph Magufuliakichukua mkasi kukata utepe  kuzindua daraja la Nyerere huko Kigamboni Jumanne Aprili 19, 2016.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...