Balozi wa Umoja wa Ulaya nchini Tanzania, Bw. Roeland Van De Geer kizungumza jambo wakati wa hafla fupi ya uzinduzi wa programu ya kusaidia mashirika yasiyo ya kiserikali iliyofanyika jana. Picha na Geofrey Adroph
Mwakilishi wa Umoja wa Ulaya(EU) kutoka Brussels, Bi Rosario Bento Pais akizungumzia masuala ya kuzisaidia asasi zisizo za kiserikali ili ziweze kufanya kazi kwa ufanisi mkubwa maana hizo zinawalenga watu katika jamii husika.
Mwakilishi wa asasi za kiraia, Bw. Francis Kiwanga akizungumza juu ya ushirikiano wa Umoja wa Ulaya(EU) ulivyoamua kuzisaidia asasi zisizo za kiserikali za Tanzania Bara pamoja na Zanzibar. Maeneo ambayo Umoja wa Ulaya inajikita nayo katika asasi zisizo za kiserikari ni tatu amabazo ni kuweka mazingira bora kwa mashirika yasiyo ya kiserikali kufanya kazi katika mazingira bora hapa nchini, pili ni kuyajengea uwezo mashirika hayo na mwisho nikufanya kazi katika Sere pamoja na sheria ili kuwa na sheria bora na nzuri kwa maendelea ya nchi yetu.

Picha ya Pamoja.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...