Katika ulimwengu wa Fashion, bendera ya Tanzania yazidi kupeperushwa kimataifa, wanamitindo maarufu nchini Tanzania ambao kwa sasa wanaishi nchini Marekani yaani hapo namzungumzia Mama wa mitindo Asya Idarous khamsin, Judy & Flora wanategemea kufanya maajabu yao kwa kuonesha mitindo kwenye Onesho kubwa 'Dicota 2016' ambalo linategemea kufanyika Ijumaa ya Tarehe 29 April 2016 "Hyatt Regency North Dallas".

Hivyo kwa wadau wote wa mitindo na watanzania kwa ujumla suport yenu kwa wanamitindo hao, itapelekea ongezeko la ukuaji wa Tasnia ya mitindo Tanzania kwa pamoja tunawatakia Kila la kheri Kwenye onesho hilo.
By Victor Petro

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...