Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira Mh. January Makamba akiongea na Balozi wa Spain nchini Tanzania Bw. Felix Costales. Balozi huyo alimtembelea Mh. Makamba na kufanya mazungumzo ya kudumisha uhusiano baina ya nchi hizo mbili katika sekta ya Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira Mh. January Makamba akiagana na Balozi wa Spain nchini Tanzania Bw. Felix Costales mara baada ya kufanya mazungumzo Mtaa wa Luthuli Jijini Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...