Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira
Mh. January Makamba akiongea na Balozi wa Spain nchini Tanzania Bw. Felix
Costales. Balozi huyo alimtembelea Mh. Makamba na kufanya mazungumzo ya
kudumisha uhusiano baina ya nchi hizo mbili katika sekta ya Hifadhi na
Usimamizi wa Mazingira.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira
Mh. January Makamba akiagana na Balozi wa Spain nchini Tanzania Bw. Felix
Costales mara baada ya kufanya mazungumzo Mtaa wa Luthuli Jijini Dar es Salaam.


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...