Balozi wa Kuwait Nchini Tanzania Jasem Al-Najem, akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi wa Wizara ya Afya Zanzibar, kulia Naibu Waziri wa Afya Zanzibar Mhe. Harusi Said, Naibu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Bi Halima Maulid na kushoto kwa Balozi Daktari Dhamana wa Kanda ya Unguja Dk Fadhil Mohammed na Mkurugenzi Kinga Wizara ya Afya Zanzibar. Dk Mohammed Dahoma.
Balozi wa Kuwait Nchini Tanzania Balozi Jasem Al-Najem, akikabidhi msaada wa Dawa kwa Naibu Waziri wa Wizara ya Afya Zanzibar Mhe. Harusi Said, wakishuhudia kulia Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Afya Bi Halima Maulid na kushoto Daktari Dhamana Kanda ya Unguja Dk Fadhil Mohammed.
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Afya Zanzibar Bi Halima Maulid akimkabidhi Madawa Daktari Dhamana wa Kanda ya Unguja Dk Fadhil Mohammed, baada ya kukabidhiwa na Balozi wa Kuwait Nchini Tanzania.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...