Wadau wa utamaduni wakicheza bao
 Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo Profesa Elisante Ole Gabriel kushoto akipokea picha ya Rais John Pombe Magufuli kutoka kwa Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Utamaduni Bi. Lilly Beleko iliyochorwa na msanii wa Kitanzania Bw.Furaha Mwakitalu wakati wa maadhimisho ya Wiki ya Uanuwai wa Utamaduni Duniani iliyofanyika jijini Dar es Salaam jana
Baadhi Ya wasanii wakionyesha umahiri wao wakati wa maadhimisho ya Wiki ya Uanuwai wa Utamaduni Duniani iliyofanyika jijini Dar es Salaam 
Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo Profesa Elisante Ole Gabriel akiongea na wadau mbalimbali wa Sanaa wakati wa maadhimisho ya Wiki ya Uanuwai wa Utamaduni Duniani iliyofanyika jijini Dar es Salaam jana, Picha na Benjamin Sawe

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...