Mwanzilishi wa Doris Mollel Foundation,Doris Mollel(kushoto)Mkurugenzii wa Jembe Media pamoja na Mkuu wa kitengo cha Vodacom Foundation Tanzania,Renatus Rwehikiza(katikati)wakimkabidhi Mkuu wa Mkoa wa Mwanza,John Mongela kwa niaba ya hospitali ya Sekoutoure(wapili kushoto)mashine ya kutoa uchafu(Manual Suction Machine)kwa watoto waliozaliwa Njiti zilizotolewa msaada hospitalini hapo na Vodacom Foundation Tanzania kupitia Doris Mollel Foundation leo,Msaada huo umegharimu shilingi Milioni 30.
 Mkuu wa Mkoa wa Mwanza,John Mongela(wapili kushoto)akipatiwa maelekezo na Afisa muuguzi msaidizi wa wodi ya wazazi wa hospitali ya Sekoutoure mkoani humo,Rukia Setembo jinsi ya matumizi ya mashine ya kusaidia watoto Njiti kupumua(Oxygen Concentrator)zilizotolewa msaada na Vodacom Foundation Tanzania kupitia Doris Mollel Foundation leo,Wengine katika picha kushoto,Doris Mollel,Renatus Rwehikiza na Sebasian Ndege,Msaada huo umegharimu shilingi Milioni 30.
 Mkuu wa Mkoa wa Mwanza,John Mongela(wapili kushoto)pamoja na Mkuu wa Vodacom Foundation Tanzania,Renatus Rwehikiza(kushoto)wakimkabidhi mkazi wa mwanza zawadi ya kanga,Rehema Kamugisha,katika hospitali ya Sekoutoure mkoani humo mara baada ya kupokea msaada wa mashine za kusaidia watoto Njiti kupumulia wenye thamani ya shilingi milioni 30,Uliotolewa na na Vodacom Foundation Tanzania kupitia Doris Mollel Foundation leo.
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza,John Mongela(kushoto)Doris Mollel,Sebasitian Ndege,wakimshuhudia Mkuu wa kitengo cha Vodacom Foundation,Renatus Rwehikiza(kulia)akimkabidhi zawadi ya kanga,Rose Mwenda alielazwa katika hospitali ya Sekoutoure mkoani humo, mara baada ya kutoa msaada wa mashine za kusaidia watoto Njiti kupumulia wenye thamani ya shilingi milioni 30,Uliotolewa na na Vodacom Foundation Tanzania kupitia Doris Mollel Foundation leo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...