Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Mazingira na Muungano January Makamba akiwasilisha makadirio ya mapato na matumizi ya wizara hiyo kwa mwaka wa fedha 2016/2017 leo Bungeni mjini Dodoma.
 Baadhi ya Wabunge wakifuatilia hotuba ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Mazingira na Muungano January Makamba (hayupo pichani) alipokuwa akiwasilisha makadirio ya mapato na matumizi ya wizara hiyo kwa mwaka wa fedha 2016/2017 leo Bungeni mjini Dodoma.

(Picha na Eleuteri Mangi, MAELEZO, Dodoma).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 03, 2016

    Mbona ukumbi ni wazi; viti vingi havina wabunge?

    Tanzania ilitia saini Maridhiano ya Mkataba wa Paris kuhusu mazingira. Mojawapo ya vipengere vya kulinda mazingira ni kuachana na vyanzo vya nishati vinavyochafua mazingira: matumizi ya gesi, makaa ya mawe na mafuta, ambavyo sasa Tanzania inavipigania kuivusha kwenda katika kundi la nchi za mapato ya kati.

    Je, hii haipingani na maridhiano hayo? Wananchi wangependa kusikia wabunge wetu wakilizungumzia suala hili.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...