Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, John Mongella akisalimiana na Mratibu Mkaazi wa Umoja wa Mataifa na Mwakilishi Mkaazi wa UNDP, Alvaro Rodriguez, wakati akimkaribisha Ofisini kwake, leo Mei 2, 2016.
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, John Mongella akimsikiliza Mkuu wa idara ya Siasa, Mawasiliano wa Umoja wa Ulaya, Luna Deals alipokuwa akizungumza jambo, leo Mei 2, 2016 wakati walipofika ofisini kwake. Ugeni huo ulieleza kusudio lao la kutembelea, MWAUWASA, SAUT, pamoja na Hospitali ya Rufaa ya Bugando, Jijini Mwanza.
Mazungumzo ya pamoja baina ya Mkuu wa mkoa wa Mwanza, John Mongella na Mratibu Mkaazi wa Umoja wa Mataifa na Mwakilishi Mkaazi wa UNDP, Alvaro Rodriguez.

Mara baada ya mazungumzo, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, John Mongella, akalazimika kuchagua kibao kinacho onesha ni maeneo gani kama mkoa wangepeda nguvu za uwekezaji zielekezwe.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 03, 2016

    Ni wakati muafaka kupanga mipango ya kutimiza malengo ya maendeleo endelevu SDGs kufikia 2030 nchi nzima.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...