KATIKA kuhakikisha watu wa vijijini wanaongeza kipato shirika lisili la kiserikali metangaza washindi wa shindano la Ongeza kipato (Scaling Competition) kwa shindano la mwaka jana na kuzindua shindano jingine la mwaka huu.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo 
Mwanzilishi wa Shirika lisilo la Kiserikali linalojihusisha na maendeleo vijijini lijulikanamlo kama Foundation, Fund for Rural Prosperity, Gabriel Kavuti  amesema kuwa shindano hilo litawaongezea kipato watu wanaoishi vijijini kwa kuweza kushindana shindano hilo.

Amesema kuwa makampuni mengi yanaingia katika shindano hiloyakiwa na mapendekezo yakuongeza kipato na kuleta mabadiliko ya kweli ya kifedha kwa watu wanaoishi  vijijini.

Kavuti amesema kuwa makampuni yanayotaka kushiriki katika shindano hilo unaweza kutembelea website yao ya  www.frp.org. ili kupata fomu ya kushindania shindano hilo.


Mwanzilishi wa Shirika lisilo la Kiserikali linalojihusisha na maendeleo vijijini lijulikanamlo kama Foundation, Fund for Rural Prosperity, Gabriel Kavuti akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo kuhusiana na kuwatangaza washindi wa tuzo kwa makampuni matano yenye thamani ya dola ka kimarekani 10 kwaajili ya kuimarisha uchumi wao wa ubunifu.

Mwanzilishi wa Shirika lisilo la Kiserikali linalojihusisha na maendeleo vijijini lijulikanamlo kama Foundation, Fund for Rural Prosperity, Gabriel akionyesha jinsi shirika hilo la Mastercard linavyowasaidi watu wa vijijini.

Baadhi ya wadau wa kimsikiliza Mwanzilishi wa Shirika lisilo la Kiserikali linalojihusisha na maendeleo vijijini lijulikanamlo kama Foundation, Fund for Rural Prosperity, Gabriel jijini Dar es Salaam leo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...