Afisa
wa Mfuko wa Hifadhi wa PSPF Ndg Mohammed Salum akitowa maelezo ya
manufaa ya Kujiunga na Uchangiaji wa Hiyari kwa Wastaafu wa Jamuhuri ya
Muungano na faida zake kupitia Mfuko huo wakati wa Mkutano Mkuu wa
Jumuiya hiyo uliodhaminiwa na PSPF.
Mwenyekiti
wa Jumuiya ya Wastaafu wa Jamuhuri ya Muungano Zanzibar Ndg Khamis
Rashid, akizungumza kabla ya kumkaribisha Mgeni Rasmin Mwakilishi wa
Jimbo la Rahaleo Zanzibar Mhe Nassor Salum Jazira kuufungua mkutano huo
Mkuu wa Mwaka uliofanyika katika ukumbi wa Jengo Sanaa Rahaleo
Zanzibar.
Mwakilishi
wa Jimbo la Kikwajuni Zanzibar Mhe Nassor Salum Jazira akitowa nasaha
zake kwa Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Wastaafu wa Jamuhuri ya Muungano
Zanzibar, uliofanyika katika ukumbi wa Jengo la Sanaa Rahaleo Zanzibar
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...