Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 8 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 22, 2016

    Na watanzania wengi wako kama huyu mama. Ushahidi umeshapatikana na umekosea kwa nini usirekebishe usemi. Bado anadanganya zaidi na kujitetea dhidi ya ushahidi dhahiri. Wafanyakazi wa hivi wanatakiwa kwenda kwenye kozi za maadili. Wafundishwe kusema ukweli ni kanuni ya kwanza ya maadili. hata kama ukweli huo unakudhuru.

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 22, 2016

    JPM unaona tatitizo la maadili kwa wafanyakazi? Anzisha somo la "Ethics" kuanzia mashule mpaka universities. Mtu asiajiriwe bila kufuzu masomo ya maadili. Hautashinda vita dhidi ya rushwa kama watu hawana maadili, hata askari wanaokusaidia wana matatizo ya maadili.

    Juhudi za kuondoa rushwa siyo kuwa na askari bora tuu bali kuwa na raia wenye maadili. Maadili husomwa.

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 22, 2016

    maswali ya daktari wa falsafa, usifanye mzaha.

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 22, 2016

    Mungu ametubariki sana kutupatia Magufuli. Hivi kweli haya yote utasema hatuhitaji Dikteta? Kweli tumuombee Magufuli. Wanaopinga anayoyafanya hawaitakii nchi yetu mema. Hats nchi za wazungu hazikuendelea kwa demokrasia: ama utumwa, ukoloni ama unyonyaji. Sisi tutajikomboa kwa kazi tu bila kuoneana aibu. God bless Magufuli and Tanzania.

    ReplyDelete
  5. AnonymousMay 22, 2016

    Ndugu zangu Swala la kusema UKWELI alimo ndani ya MAADILI ni mtu mwenyewe jinsi alivyo UMBWA na KUMUOGOPA MUNGU, NA KUPENDA NCHI YAKO,

    ReplyDelete
  6. AnonymousMay 22, 2016

    Ukweli in ndani ya maadili. We are just used to fool our leaders and have gotten away with it for far too long. Its about time our leaders stopped taking what they are fed for granted. Magufuli is showing the way. He deserves all our support.

    ReplyDelete
  7. AnonymousMay 23, 2016

    Mkurugenzi wa kiwanja hata kuongewa huwezi tena kwa kiswahili ukizingatia upo ktk eneo lako lako la kujidai tu.....haya hao wengine nao kalaumbwage yaani kweli bongo tamu yaani lazima nirudi bongo.....

    ReplyDelete
  8. AnonymousMay 23, 2016

    duh watanzania sijui kwanini wanapenda kusema uongo. Yani hili ni janga la taifa.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...