Mgeni rasmi wa uzinduzi wa duka jipya la Vodacom Tanzania, lililopo katika sehemu ya maduka makubwa(Rocky City Mall)jijini Mwanza, Mkuu wa Mkoa huo,John Mongella(watatu kushoto) Mkurugenzi wa Usambazaji bidhaa wa Vodacom Tanzania,Hassan Saleh(kushoto)pamoja na Meneja wa duka hilo,Yohana Mswahili wakifafanuliwa jambo na Mkuu wa kitengo cha wateja wa rejareja wa kampuni hiyo,Brigita Stephen(kulia) wakati wa uzinduzi wa duka hilo jana.
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, John Mongella(watano kushoto) akigonganisha glasi na baadhi ya wafanyakazi wa Vodacom Tanzania,Ikiwa ni ishara ya Uzindua wa duka jipya la kisasa la kampuni hiyo lililopo katika sehemu ya maduka makubwa(Rocky City Mall)jijini humo jana.




Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...