
Wakuu wa Mikoa na wakuu wa wilaya wakitizama eneo moja wapo la chanzo cha Mto Tarangire.

Mkuu wa Mkoa wa Simiyu ,Anthony Mtaka (kushoto) akizungumza jambo na Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro,Saidi Mecky Sadick walipokuwa wakitizama sehemu ya chanzo cha Mto Tarangire.

Kundi la Tembo likivuka mto .

Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro,Said Mecky saidick pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Katavi,Meja Jenerali Mstaafu ,Raphael Mhuga wakitizama bidhaa katika moja ya maduka yaliyopo katika Hoteli ya Tarangire Safari Lodge.

Mkuu wa Mkoa wa Katavi,Meja Jenerali ,Raphael Mhuga akitoa neno la Shukrani kwa niaba ya wenzake kwa uongozi wa Shirika la Hifadhi za Taifa,(TANAPA) baada ya kuhitimisha ziara ya kimafunzo katika Hifadhi ya Taifa ya Tarangire.Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...