DVD za Siri Za Familia zitapatikana kuanzia tarehe 1 August 2016 baada ya Season  1 kumalizika. Kila DVD itakuwa na Episode 6 na unaangalia kwa zaidi kidogo ya Masaa 2 na Nusu. Kila DVD itakuwa Shs 2500 rejareja na Shs 2000 kwa wanunuzi wa jumla watakaonunua copies kuanzia 100 (Mia moja).
Unaweza kutuma order yako sasa kwa SMS au Whatsapp kwenye namba +255 768 355 555. Please usipige simu. @sirizafamilia @sirizafamilia

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...