Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Mhe. Godfrey Weston Zambi akisalimiana na Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Prof. Elisante Ole Gabriel (kushoto) Ofisini kwake jana.
Baadhi ya wajumbe wa Menejimenti ya Sekretarieti ya Mkoa wa Lindi wakiwa katika kikao cha Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo.
Prof. Elisante Ole Gabriel (katikati) akimkabidhi Ipad Afisa Habari wa Mkoa wa Lindi, Ndg. Elibariki Mafole (kulia) jana.
Picha ya pamoja ya Katibu Mkuu Wizara ya Habari Utamaduni, Sanaa na Michezo, Katibu Tawala Mkoa, Wataalam wa Sekretarieti ya Mkoa na Waandishi wa Habari.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...