Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Mhe. Godfrey Weston Zambi akisalimiana na Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Prof. Elisante Ole Gabriel (kushoto) Ofisini kwake jana.
Baadhi ya wajumbe wa Menejimenti ya Sekretarieti ya Mkoa wa Lindi wakiwa katika kikao cha Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo.
Prof. Elisante Ole Gabriel (katikati) akimkabidhi Ipad Afisa Habari wa Mkoa wa Lindi, Ndg. Elibariki Mafole (kulia) jana.
Picha ya pamoja ya Katibu Mkuu Wizara ya Habari Utamaduni, Sanaa na Michezo, Katibu Tawala Mkoa, Wataalam wa Sekretarieti ya Mkoa na Waandishi wa Habari.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...