SIMU.TV: Madiwani 24 wa halmashauri ya wilaya ya Meru mkoani Arusha wamefikishwa mahakamani na kusomewa shitaka la kuharibu uzio wa wenye thamani ya Sh. Mil 7; https://youtu.be/uLgUkTFtCoU
 SIMU.TV:  Kamanda wa polisi kikosi cha usalama barabarani amesema jumla ya madereva 54 wamekamatwa jijini kutokana na makosa mbalimbali ikiwemo kugonga mabasi ya mwendokasi;https://youtu.be/jHUIc1zrWz0
 SIMU.TV: Lori la mizigo ya mawe limeporomoka bila dereva na kuparamia duka na kugonga wapiti njia hatua iliyosababisha taharuki katika mji wa Songea; https://youtu.be/n5W8fiPp_7g
 SIMU.TV: Shirikisho la ngumi za ridhaa duniani yatoa nafasi ya mwisho kwa Tanzania kushiriki katika mashindano ya Olympic; https://youtu.be/BcoqUTewlPA
 SIMU.TV: Shirikisho la tennis duniani lamfungia mchezaji Maria Sharapova kutoshiriki katika mchezo huo kwa kipindi cha miaka miwili; https://youtu.be/EdQwpN_5ZdI
 SIMU.TV: Shirikisho la mpira wa miguu nchini TFF Limeanza kutoa fomu za leseni  kwa vilabu vya soka ligi kuu na ligi daraja la kwanza; https://youtu.be/z9M9Szm2p0M
SIMU.TV: Fahamu mambo mengi kutoka katika mamlaka ya chakula na dawa TFDA  wakikufahamisha kuhusu  bidhaa feki: https://youtu.be/P5tfYTH3sjY 
SIMU.TV: Yajue mambo mbalimbali kutoka katika mada motomoto inayojadili kiundani kuhusu  bajeti  iliyopelekwa katika sekta ya kilimo: https://youtu.be/kE5bn4FDhB0
SIMU.TV: Fahamu mambo mengi  kutoka kwa mfatiliaji  wa masuala ya serikali  na  uchumi akikujuza kuhusu bajeti ya kwanza kwa serikali ya awamu ya tano: https://youtu.be/tdbsfpqjsrc

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...