BODI ya Ligi (TPLB) ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), limetangaza makundi matatu ya timu zitakazoshiriki Ligi Daraja la Kwanza ya StarTimes msimu wa 2016/2017. Michuano hiyo inatarajiwa kuanza Agosti, mwaka huu mara baada ya kukamilisha mchakato wa usajili unaoanza Juni 15, 2016.
Makundi hayo yenye timu nane (8) kwa kila moja, yamegawanywa kwa alama ’A’, ‘B’ na ‘C’
Kundi A lina timu za:
1 Abajalo - Dar es Salaam
2 African Sports - Tanga
3 Ashanti United - Dar es Salaam
4 Kiluvya United - Pwani
5 Friends Rangers - Dar es Salaam
6 Lipuli - Iringa
7 Mshikamano FC -Dar es Salaam
8 Polisi Dar - Dar es Salaam
Kundi B
1 JKT Mlale - Ruvuma
2 Coastal Union - Tanga
3 Kimondo FC -Mbeya
4 Kinondoni Municipal Council - Dar es Salaam
5 Kurugenzi -Iringa
6 Mbeya Warriors- Mbeya
7 Njombe Mji - Njombe
8 Polisi Morogoro -Morogoro
Kundi C
1 Alliance Schools- Mwanza
2 Mgambo Shooting - Tanga
3 Mvuvumwa FC - Kigoma
4 Panone FC - Kilimanjaro
5 Polisi Dodoma - Dodoma
6 Polisi Mara -Mara
7 Rhino Rangers -Tabora
8 Singida United -Singida



Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...