Katikatika pita pita za Kamera ya Globu ya Jamii, imeweza kuzipata taswira hizi za Wafanyakazi wa kampuni moja ya Usafi jijini Dar, wakiwajibika kwa ushirikiano mkubwa katika Mtaa wa Chimala, katikati ya Jiji ili kuhakikisha barabara zinakuwa safi.
 Usafi umepamba moto.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 16, 2016

    Kazana na usafi angalia msigongwe na magari

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...