Mdau wa Globu ya Jamii Jacob Julius Rombo a.k.a Jaju a.k.a Mchopa akisherehekea na wahitimu wenzake baada ya kulamba nondozzzz ya Masters of Business katika Chuo kikuu cha Wuhan University of Technology, Hubei, China, wikiendi hii. HONGERA SANA MCHOPA!
 Mchopa akipata selfie na wahitimu wenzake
Selfie kwa kwenda mbele baada ya kulamba nondozzzzz. Julius ni zao la taasisi ya WAMA iliyo chini ya mwenyekiti wake Mama Salma Kikwete.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...