Familia ya Temu  na ya   Sanga wa Dar es Salaam 
Tunapenda kuwakaribisha ndugu, jamaa, marafiki na majirani kwenye Misa ya  Shukrani kwa Mungu na  kuwaombea watoto  wa Marehuemu Coletha Ravasco Temu.
Misa itafanyika Jumamosi tarehe 18 Juni 2016, Kijitonyama , nyumbani kwa marehemu ( karibu na  Ofisi Serikali za Mitaa Kijitonyama).

Kuanzia saa 6 Mchana, ikifuatiwa na  sadaka ya chakula kwa wote.
Mnakaribishwa sana.
 2Timotheo 2:1 Basi, wewe mwanangu, uwe imara katika neema iliyomo ndani ya Kristo Yesu

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...