Chumba cha Globu ya jamii hivi punde kimepokea taarifa ya kifo cha Mume wa aliyekuwa Waziri wa Serikali ya awamu ya Nne na Mweka Hazina wa CCM Mkoa wa Morogoro Mhe.Dr.Lucy Nkya amefariki dunia,taarifa zinaeleza kuwa marehemu alikuwa akisumbuliwa na maradhi kwa muda mrefu.

Rest in Peace 
Prof.Estomih Nkya

TAARIFA YA MAZISHI ; Msiba wa mzee wetu Prof E J Nkya Baba Mzazi Wa Mnec Wakili Jonas Nkya na Mume Wa aliyekuwa waziri wa Jinsia,Watoto na Afya Dr Lucy Nkya Kwa sasa Upo Nyumbani kwake Morogoro Kilakala, Mazishi yatafanyika Mkoa Wa Kilimanjaro Machame Siku Ya Jumamosi, Kwa Mtakao pata nafasi Karibuni Tukamhifadhi Mzee wetu. Mungu Ailaze Roho Ya Marehemu Mahala Pema, Peponi-Amen.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa



  1. Rest in peace Bro Esto.....( As i used to call you)

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...