Mkurugenzi wa Kampuni ya Nisha Film Production Salma Jabu (Nisha) akizungumza na waandishi wa habari( hawapo pichani) juu ya kufuturisha watoto waishio katika mazingira hatarishi Juni 26 mwaka huu katika viwanja vya Shule ya Sekondari ya Azania-Upanga, jijini Dar es Salaam kushoto ni Afisa Uhusiano wa Nisha Film Production, Baraka Nyagenda.
Meneja wa kampuni ya Nisha Film Production, Myovela Mfwaisa akifafanua jambo kwenye mkuano uliofanyika leo jijini Dar es Salaam kulia ni Afisa Uhusiano wa Nisha Film Production, Baraka Nyagenda.
Waandishi wa habari wakimsikiliza Mkurugenzi wa Kampuni ya Nisha Film Production Salma Jabu (Nisha).
(Picha na Emmanuel Massaka, Globu ya Jamii).


Itapendeza watoto hao wapewe mafunzo ya kufunga kabla ya siku hiyo ili wajue nini wanafanya na kwanini wanakaribishwa futari.
ReplyDelete