Mkurugenzi wa Kampuni ya Nisha Film Production Salma Jabu (Nisha) akizungumza na waandishi wa habari( hawapo pichani) juu ya kufuturisha watoto waishio katika mazingira hatarishi Juni 26 mwaka huu  katika viwanja vya Shule ya Sekondari ya Azania-Upanga, jijini Dar es Salaam kushoto ni  Afisa Uhusiano wa Nisha Film Production, Baraka Nyagenda.
 Meneja wa kampuni ya Nisha Film Production, Myovela Mfwaisa akifafanua jambo kwenye mkuano uliofanyika leo  jijini Dar es Salaam kulia ni Afisa Uhusiano wa Nisha Film Production, Baraka Nyagenda.
Waandishi wa habari wakimsikiliza Mkurugenzi wa Kampuni ya Nisha Film Production Salma Jabu (Nisha).
(Picha na Emmanuel Massaka, Globu ya Jamii). 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 21, 2016

    Itapendeza watoto hao wapewe mafunzo ya kufunga kabla ya siku hiyo ili wajue nini wanafanya na kwanini wanakaribishwa futari.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...