Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza jambo
wakati akiagana na Mchungaji Anthony Lusekelo ‘Mzee wa Upako’ katika kanisa
lake la Maombezi lililopo Ubungo Kibangu jijini Dar es Salaam. Rais Dkt.
Magufuli alihudhuria ibada hiyo pamoja na kukagua barabara inayotoka Ubungo
Kibangu hadi Barabara ya Mandela eneo la Riverside.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na mkewe Mama
Janeth Magufuli wakati wakitoka kwenye kanisa la Maombezi la Mchungaji Anthony
Lusekelo ‘Mzee wa Upako’ Ubungo Kibangu jijini Dar es Salaam. PICHA NA IKULU
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...