Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 14, 2016

    Naona tatizo la kuzima "free trade." Mwenyezi Mungu kahalalisha biashara (ya bidhaa halali kwa bei zote)." Mnunuzi kama hamudu basi asinunue. Siyo faradhi kufturu maboga au viazi au uji. Twishona watu wanfuturu chai, supu, wali, nyama-choma,

    Mi nadhani bidhaa hizi hupanda bei si kwa sababu wafanyabiashara wanataka kuwaadhibu waliofunga bali kwa sababu ya hali ya soko. Sayansi ya uchumi huseama kuwa bidhaa ikiwa ndogo sokoni kuliko wahitaji basi bei itapanda, kinyume ni sahihi pia. Kwa hiyo ni jinsi tu soko linavyoenda. Sasa hivi mahitaji ni makubwa zaidi ya bidhaa zilizopo.

    Serikali isitumie nguvu kupanga bei bali ilete sokoni bidhaa zaidi ili bei ishuke yenyewe kufikia "equilibrium". Chezeni na sayansi maana ni karne yake. Zile bidhaa za magereza na jkt zimwageni sokoni.Mfanyabiashara na mnunuzi wabaki huru.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 14, 2016

    Hivi Ndugu Waziri mkuu, ikitokea bidhaa zikawa nyingi na kusababisha bei kushuka utawaomba wanunuzi pia wanunue kwa bei ya juu ili wafanyabiashara warudishe gharama zao? Maana bei inategemea gharama za uzalishaji, usafirishaji, uhifadhi, n.k. na sio suala la moyo. Ni suala la pochi(walet).

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...