Bi. Rose Lutu Lawa Kaimu Mkurugenzi wa Shirika la Bima la Taifa NIC akizungumza na Mawakala wa bima ya Ajali na Mali wakati wa mafunzo ya mawakala hao katika kutoa huduma bora kwa wateja na mikakati ya kuuza bidhaa za shirika hilo kwa ufanisi mafunzo hao yalifanyika mwishoni mwa wiki kwenye makao makuu ya shirika hilo jijini Dar es salaam na kuhudhuriwa na baadhi ya watendaji kutoka vitengo kadhaa ambao pia walitoa mada kadhaa katika kuboresha huduma za shirika la Bima.
Bi. Rose Lutu Lawa Kaimu Mkurugenzi wa Shirika la Bima la Taifa NIC akifafanua jambo kwa Mawakala wa bima ya Ajali na Mali wakati wa mafunzohayo yaliyofanyika kwenye makao makuu ya shirika la Bima la Taifa NIC jijini Dar es salaam.
Kaimu Mkurugenzi wa MasokoElisante Maleko akimuelekeza jambo kwenye ratiba Bi. Tabu Kingu Kaimu Mhasibu Mkuu wa shirika la Bima la Taifa NIC ambaye pia alikuwa mtoa mada katika mafunzo hayo.
Bi. Tabu Kingu Kaimu Mhasibu Mkuu wa shirika la Bima la Taifa NIC ambaye pia alikuwa mtoa mada katika mafunzo hayo akiandika mambo muimu yaliyokuwa yakijadiliwa katika mafunzo hayo.


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...