· Safari tano kwa siku ikiwamo za alfajiri kwa wasafiri wote wa Abu Dhabi na Qatar

· Nyongeza ya safari za jioni kwa kipindi za kiangazi ikiwa ni maalumu kwa wafanyabiashara na wasafiri wanaoenda kutembea

Shirika la Ndege la Etihad limesherehekea miaka 10 ya huduma ya usafiri wa anga kwa kuzindua safari tisa za ndege kutoka Abu Dhabi – Doha kipindi hiki cha kiangazi ikitimiza ahadi yake kuwa shirika bora la usafiri katika ukanda huo wa Gulf kibiashara.

Kuanzia 1 Agosti 2016 shirika hili litaongeza safari za wiki kuelekea mji mkuu wa Qatar. Safari mpya za ndege za alfajiri pamoja na jioni siku ya Alhamisi na Jumamosi zitawawezesha wasafiri ambao ni wafanyabiashara kuweza kufanya shughuli zao kwa wakati kati ya Abu Dhabi na Doha.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...