Naibu waziri wa mambo ya ndani ya nchi Mh Ahamad Masauni amelitaka jeshi la polisi nchini kuongeza bidii katika kutokomeza uhalifu; https://youtu.be/8aLYyB9IPoM

Walimu wa shule za sekondari nchini wametakiwa kuwa na desturi ya kuongeza kiwango cha ufaulu mashuleni kwa kuweka mikakati imara katika mbinu za ufundishaji;https://youtu.be/y1URcnViN4g

Naibu waziri wa nchi ofisi ya makamu wa rais anayeshughulikia mazingira Ruhaga Mpina amewataka wahitimu wa elimu ya juu kujikita katika fursa za kilimo cha miti;https://youtu.be/NWK56UssGig

Katibu mkuu wa wizara ya Ujenzi na mawasiliano Eng. Joseph Nyamhanga amewataka makandarasi wanaojenga barabara mikoani kukamilisha kwa haraka miradi hiyo;https://youtu.be/mrds0EOPFz4

Mazungumzo maalumu juu ya umuhimu wa teknolojia katika kurahisisha mambo hususani katika sekta ya elimu kwa wanafunzi; https://youtu.be/hL-nCmdbA3k

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...