Waziri Mkuu wa Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa akifurahia Jambo na Mbunge wa Ilala Azzan Zungu wakati wa futari iliyoandaliwa na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job Ndugai  kwa ajili ya wabunge leo katika viwanja vya Bunge Mjini Dodoma.
 Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia Prof. Joyce Ndalichako akishiriki futari iliyoandaliwa na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa ajili ya wabunge, kulia ni Naibu Spika Dkt. Tulia Ackson.
 Wabunge wakishiriki futari kwenye viwanja vya Bunge jioni ya leo Mjini Dodoma.
 Wabunge wakichukua futari iliyoandaliwa na Spika wa Bunge katika viwanja vya Bunge, Mjini Dodoma
 Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe akitoka kuchukua futari iliyoandaliwa na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job Ndugai jioni ya leo katika viwanja vya Bunge.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...