
Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais-Utumishi, Dkt. Laurean Ndumbaro akifafanua jambo wakati wa kikao na ujumbe kutoka Serikali ya Jimbo la Puntland -Somalia walipoitembelea Ofisi ya Rais-Utumishi mapema leo. Kulia kwake ni Waziri wa Kazi, Vijana na Michezo wa Serikali ya Jimbo la Puntland – Somalia, Mhe. Abdirahman A. Abdulle.

Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais-Utumishi, Dkt. Laurean Ndumbaro akiukaribisha ujumbe kutoka Serikali ya Jimbo la Puntland - Somalia, ulipoitembelea Ofisi ya Rais-Utumishi mapema leo. Kulia kwake ni Waziri wa Kazi, Vijana na Michezo wa Serikali ya Jimbo la Puntland – Somalia, Mhe. Abdirahman A. Abdulle akiwa na Maafisa alioambatana nao.

Waziri wa Kazi, Vijana na Michezo wa Serikali ya Jimbo la Puntland –Somalia, Mhe. Abdirahman A. Abdulle akizungumzia lengo la Serikali yake kuitembelea Ofisi ya Rais-Utumishi mapema leo. Kulia kwake ni Maafisa aliombatana nao.


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...