Meneja wa Benki ya Azania tawi la Moshi Bi. Hajira Mmambe akiwakaribisha wageni kupata futari iliyoandaliwa na Benki hiyo kwa wateja wake viwanja vya Moshi Club.
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro,Said Mecky Sadick na Mkuu mpya wa wilaya ya Moshi,Kipi Warioba pia walikua ni miongoni mwa wageni waalikwa.
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro ,Said Mecky Sadicky akizungumza wakati wa Futuru iliyoandaliwa na Benki ya Azania tawi la Moshi .
\Baadhi ya wageni wakifuatilia hotuba iliyoyotolewa na Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro,Said Mecky Sadick (hayupo pichani) wakati wa Futuru iliyoandaliwa na Benki ya Azania tawi la Moshi.
Meneja wa Azania Benk tawi la Moshi  Bi. Hajira Mmambe akiwakaribisha wageni katika Futuru iliyoandaliwa kwa wateja wa benki hiyo,hafla fupi iliyofanykika katika uwanja wa gofu wa Moshi maarufu kama Moshi Club.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...