Mbunge wa Afrika Mashariki (EAC), Waziri wa Habari wa Zamani wa nchini Burundi na Mtangazaji Mstaafu wa BBC, Bi. Hafsa Mossi (pichani) ameuawa kwa kupigwa risasi mapema leo katika barabara ya Gihosha, eneo la Nyankoni, jijini Bujumbura, Burundi.
Inaelezwa kuwa wauaji waliofanya tukio hilo walikuwa ndani ya gari na walimmiminia risasi kadhaa kifuani Mwanamama huyo na kutimka kuelekea kusikojulikana.
Home
Unlabelled
BREAKING NYUZZZ....: Mbunge wa Afrika Mashariki (EAC), Hafsa Mossi auwawa jijini Bunjumbura, Burundi leo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)



Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...