Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Dr.Binilith Mahenge (mwenye shati jeupe) akiwa ndani ya boti akivuka kutoka kijiji cha Mkenda Songea kwenda  kijiji cha Mitomoni wilaya ya Nyasa.Boti hii aliyopanda ndio ambayo  ilipinduka juzi na kusababisha watu tisa  kufa maji kwenye MTO Ruvuma.
Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Dr.Binilith Mahenge(mwenye shati jeupe) akifariji waathirika wa mafuriko katika kijiji  cha Mitomoni wilaya ya Nyasa

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...