Mlimbwende (miss) Mbeya 2016 Eunice Robert amewatembelea watoto yatima katika kituo cha Amani Nsalaga Uyole mkoani Mbeya hivi kalibuni na kuchangia baadhi ya mahitaji katika kituo hicho ikiwemo mchele, unga, sabuni, mafuta yakupikia, nguo, Daftari, Kalamu na Mafuta yakupaka. Aidha Mlimbwende huyo kutoka chuo kikuu cha Teofilo Kisanji ambaye ndiye anayeshikiria Taji la Umiss kwa sasa kwa Mkoa wa Mbeya amewaomba watu Binafsi, Mashirika ya Kidini, na Viongozi Mbalimbali wawe na mazoea ya kuwatembelea watoto yatima, Wazee, Watu wasio jiweza, Wagonjwa na wale waliopo katika Mazingira magumu na kuwasaidia kwa kuwa Jamii hiyo inahitaji Msaada kwa kiasi kikubwa hivyo sote tuguswe na hili.
Mlimbwende (miss) Mbeya 2016 Eunice Robert amewatembelea watoto yatima katika kituo cha Amani Nsalaga Uyole mkoani Mbeya hivi kalibuni na kuchangia baadhi ya mahitaji katika kituo hicho ikiwemo mchele, unga, sabuni, mafuta yakupikia, nguo, Daftari, Kalamu na Mafuta yakupaka. Aidha Mlimbwende huyo kutoka chuo kikuu cha Teofilo Kisanji ambaye ndiye anayeshikiria Taji la Umiss kwa sasa kwa Mkoa wa Mbeya amewaomba watu Binafsi, Mashirika ya Kidini, na Viongozi Mbalimbali wawe na mazoea ya kuwatembelea watoto yatima, Wazee, Watu wasio jiweza, Wagonjwa na wale waliopo katika Mazingira magumu na kuwasaidia kwa kuwa Jamii hiyo inahitaji Msaada kwa kiasi kikubwa hivyo sote tuguswe na hili.



Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...